Ijumaa, 20 Juni 2014

WATATU WAJERUHIWA KISA NGOMA ZA VIGODORO

WATU WATATU WAJERUHIWA KWA RISASI ZA MOTO BAADA YA KUKUTWA WAKICHEZA NGOMA ZA VIGODORO

Watu watatu wakazi wa Mwananyamala Jijini Dar Es Salaam wamejeruhiwa katika tukio lililohusisha risasi za moto linalodaiwa kufanywa na polisi baada ya kukutwa wakikesha kwenye ngoma maarufu za Kigodoro, ambazo tayari zimekwishapigwa marufuku na jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam.Tukio hilo lilitokea majira ya saa kumi na nusu jioni katika eneo la shule ya msingi kisiwani ambapo mmoja  wa  majeruhi hao  tayari amekwisahruhusiwa kurudi nyumbani na mwingine akiendelea na matibabu kwenye hospitali ya Mwananyamala.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni